Ambroise Basizi Risasi ni mstaafu kutoka kiwanda cha saruji cha Interlac huko Kabimba, jimbo la Tanganyika. Mtindo wake wa maisha umekuwa wa mgumu kupita kiasi tangu kuzuka kwa vita vilivyosababisha kukaliwa kwa mji wa Bukavu na waasi wa AFC-M23. Tangu wakati huo, CNSS haijamlipa pensheni yake ya kustaafu kwa robo ya kwanza ya 2025. Anasimulia huzuni yake kwenye Redio Okapi.
Ambroise Basizi Risasi: Tuko wengi sana wale bado hawajapokea pesa yao kidogo kutoka kwa CNSS
Recent Posts
Terrorist Cell Neutralized Near Majel Bel Abbes Delegation
January 22, 2026
Head of State Visits Families of Moknine Flood Victims
January 21, 2026